ACT MEDIA
ACT MEDIA
  • 194
  • 19 710 623

Відео

ACT Wazalendo Yaieleza Serikali Hatua za Kufuata Kukuza Matumizi ya Gesi Nchini
Переглядів 1029 годин тому
Naibu Waziri Kivuli wa Fedha ambaye pia ni Naibu Mwenezi wa ACT Wazalendo, Ndugu Shangwe Ayo ametoa msimamo wa ACT katika kuhakikisha sekta ya gesi inakuwa nchini. #taifalawote #taifalawote
ACT Wazalendo Yatuma Salamu Kwa Waziri Mkuu Kassim Majaliwa
Переглядів 16714 годин тому
Waziri Mkuu Kivuli Ndugu Isihaka Mchinjita akiwa katika ziara Dodoma amepata malalamiko ya Chama Cha Mapinduzi Kuzuia ACT Wazalendo kufanya shughuli zake za siasa. Aidha Naibu Waziri Kivuli wa Fedha Ndugu Shangwe Ayo amemtaka Mwenyekiti wa CCM Dodoma Kuhakikisha hili haliendelei tena #taifalawote #maslahiyawote
Isihaka Mchinjita: ACT Wazalendo Tunataka Tume Huru, Jambazi Habadilishwi Nguo Kuwa Malaika
Переглядів 7114 годин тому
Waziri Mkuu kivuli ameyasema haya akiwa ziarani Morogoro. Hata hivyo Mchinjita ameeleza kuwa TAMISEMI kusimamia uchaguzi wa serikali za mitaa ni uhuni na haikubaliki. Aidha ziara yake ni mahususi kwa mikoa mitatu Morogoro, Dodoma na Manyara. #taifalawote #maslahiyawote
Isihaka Mchinjita: Samia Tulimuamini, Sasa Anawahadaa Wananchi
Переглядів 26514 годин тому
ACT Wazalendo yaendeleza msimamo wake wa kusimamia uwajibikaji kwa serikali kuhusu Tume Huru ya Uchaguzi. Waziri Mkuu Kivuli Ndugu Isihaka Mchinjita amewataka wananchi kuungana pamoja kudai Tume Huru. #taifalawote #maslahiyawote
ACT Wazalendo: Kariakoo ni Kitovu cha Biashara, Serikali Iache Mara Moja Kodi za Dhulma
Переглядів 8 тис.19 годин тому
Waziri Mkuu Kivuli, Ndugu Isihaka Mchinjita Amefanya Ziara ya Kuwatembelea Wafanyabiashara Karikaoo Kusikiliza Kero Zao Pamoja na Kuwaunga Mkono Katika Kupigania Haki Zao. Ziara Hiyo imefanyika Juni 24 2024 Kufuatia Mgomo wa Wafanyabiashara Hao. #taifalawote #maslahiyawote
ACT Wazalendo Yaitaka Serikali Kuipatia Zanzibar Stahiki Zake Kwa Mujibu Wa Katiba
Переглядів 11421 годину тому
Hayo Yamebainishwa Na Naibu Waziri Wa Fedha, Ndugu Shangwe Ayo Katika Zoezi La Uchambuzi Wa Bajeti Kuu Ya Serikali 2024-2025, Uliofanyika Makao Makuu Ya Chama Magomeni #taifalawote #maslahiyawote
Isihaka Mchinjita: Serikali Inakopa Mikopo Ya Kausha Damu, Mikopo Ya Kibiashara
Переглядів 83День тому
Katika Uchambuzi Wa Bajeti Kuu Ya Serikali 2024-2025 Uliofanyika Makao Makuu Ya ACT Wazalendo Juni 22, Waziri Mkuu Kivuli Isihaka Mchinjita Amebainisha Namna Serikali Inakwenda Kukopa Mikopo Yenye Riba Kubwa Ambayo Inapelekea Kuumiza Watanzania Ambao Ndio Walipaji Wa Mikopo Hiyo. #taifalawote #maslahiyawote
Zitto Kabwe: Nimejiandaa Kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Переглядів 492День тому
Kiongozi Mstaafu wa Chama ACT Wazalendo Ndugu Zitto Zuberi Kabwe Ametangaza Nia ya Kuwania Urais, Ameyasema Hayo Akiwa Kigoma Katika Maadhimisho ya Miaka 10 ya ACT Wazalendo. #taifalawote #maslahiyawote
Salamu Tatu Za Moto Kutoka Kwa Ismail Jussa
Переглядів 131День тому
Akiwa Mjini Kigoma Kwenye Maadhimisho ya Miaka 10 Ya ACT Wazalendo, Makamu Mwenyekiti Zanzibar Ndugu Ismail Jussa Ametema Cheche na Kutoa Salamu za Moto Zilizoleta Shangwe Katika Viwanja vya Gungu Uliopofanyikia Mkutano. #taifalawote #maslahiyawote
Ado Shaibu: Hawa Ndiyo Walioshiriki Uchafuzi wa 2020, Tume ijiuzulu
Переглядів 117День тому
Katibu Mkuu wa ACT Wazalendo Ndugu Ado Shaibu Ameitaka Tume ya Uchaguzi Kujiuzulu. Ameyasema Haya Akiwa Katika Ziara yake ya Majimbo ya Chalinze na Kibaha Vijijini #TaifaLaWote #MaslahiYaWote
ACT Wazalendo Yajipanga Uchambuzi Bajeti Kuu ya Serikali 2024-2025, Wananchi Watoa Maoni Yao
Переглядів 60День тому
Kesho Juni 22 ACT Wazalendo Itafanya Uchambuzi Yakinifu wa Bajeti Kuu ya Serikali, Utakaofanyika Makao Makuu Ya Chama Magomeni Usalama. #TaifaLaWote #MaslahiYaWote
ACT Wazalendo Imesikitishwa na Mauaji ya Mtoto Asimwe, Yatoa Tamko Waziri wa Mambo ya Ndani ajiuzulu
Переглядів 50День тому
Mtoto Mwenye Ualbino Asimwe Novath Mwenye Umri Wa Miaka Miwili Akutwa Amefariki na Kunyofolewa Baadhi ya Viuongo Siku kadhaa Baada ya Kunyakuliwa Mikononi Mwa Mama yake Mkoani Kagera. ACT Wazalendo Imetoa Tamko, Waziri wa Mambo ya Ndani Ajiuzulu
Mchakamchaka Wananchi Wameichoka CCM, Wakimbilia ACT Wazalendo
Переглядів 346День тому
Mchakamchaka Wananchi Wameichoka CCM, Wakimbilia ACT Wazalendo
Mahojiano yangu na TV47 ya Kenya
Переглядів 1,3 тис.4 роки тому
Mahojiano yangu na TV47 ya Kenya
My Interview with SABC of South Africa
Переглядів 7804 роки тому
My Interview with SABC of South Africa
Bunge LISITISHE VIKAO VYAKE 29/03/2020
Переглядів 1,1 тис.4 роки тому
Bunge LISITISHE VIKAO VYAKE 29/03/2020
#ACTDhidiYaCorona kunawa Mikono Zitto 3
Переглядів 9404 роки тому
#ACTDhidiYaCorona kunawa Mikono Zitto 3
Serikali ya Magufuli imeshindwa vibaya kima Pato
Переглядів 4154 роки тому
Serikali ya Magufuli imeshindwa vibaya kima Pato
IMF ifanye ukaguzi Maalumu wa BoT
Переглядів 2184 роки тому
IMF ifanye ukaguzi Maalumu wa BoT
#ACTDhidiYaCorona Maalim Seif ANATUASA #COVID19TZ
Переглядів 3484 роки тому
#ACTDhidiYaCorona Maalim Seif ANATUASA #COVID19TZ
#ACTDhidiYaCorona Elimu kwa Umma 1
Переглядів 2234 роки тому
#ACTDhidiYaCorona Elimu kwa Umma 1
Maendeleo ya Kigoma Ujiji ni matokeo ya kazi za ACT Wazalendo
Переглядів 5 тис.4 роки тому
Maendeleo ya Kigoma Ujiji ni matokeo ya kazi za ACT Wazalendo
Nimejiandikisha Kitongoji cha Kibingo, Mamlaka ya Mji Mdogo wa Mwandiga
Переглядів 1,3 тис.4 роки тому
Nimejiandikisha Kitongoji cha Kibingo, Mamlaka ya Mji Mdogo wa Mwandiga
Katibu Mkuu Dorothy Semu anakusihi ukajiandikishe Uchaguzi wa SM 2019
Переглядів 2804 роки тому
Katibu Mkuu Dorothy Semu anakusihi ukajiandikishe Uchaguzi wa SM 2019
ACT Zanzibar yaendelea na Uchaguzi wa ndani ya Chama
Переглядів 1,3 тис.4 роки тому
ACT Zanzibar yaendelea na Uchaguzi wa ndani ya Chama
ACT Wazalendo inakuhamasisha kujiandikisha Uchaguzi wa SM 2019
Переглядів 3664 роки тому
ACT Wazalendo inakuhamasisha kujiandikisha Uchaguzi wa SM 2019
Dada Rachael anakusihi ukajiandikishe
Переглядів 1794 роки тому
Dada Rachael anakusihi ukajiandikishe
Juma Duni anakusihi ukajiandikishe
Переглядів 3834 роки тому
Juma Duni anakusihi ukajiandikishe
Maalim Seif anakusihi ukajiandikishe
Переглядів 3404 роки тому
Maalim Seif anakusihi ukajiandikishe

КОМЕНТАРІ

  • @user-om8pk4dj3d
    @user-om8pk4dj3d 2 дні тому

    Kama we niwagigoma kma mm gonga leke❤❤

  • @mickdizleponera1191
    @mickdizleponera1191 2 дні тому

    Kwa anayejua mziki pekee ndio atakubaliana na mimi kwmb Queen Darleen kaua zaidi🔥🔥

  • @stephenkamau7742
    @stephenkamau7742 2 дні тому

    2024

  • @GervinSylvie-fz8pr
    @GervinSylvie-fz8pr 3 дні тому

    I'm here for 2024❤

  • @Ice_Cracker
    @Ice_Cracker 3 дні тому

    Anaetazama mwez uu wa Saba like tafadhar❤

  • @salyali7807
    @salyali7807 3 дні тому

    Mchinjita you are the best

  • @selemanisalum7685
    @selemanisalum7685 4 дні тому

    Tatizo mama anajifanya chura ila atambue kirusi chote ni mwiguru na mkumbo huyu bibi Amtimue mwiguru hana ubunifu

  • @GetoFully
    @GetoFully 5 днів тому

    Kali

  • @GetoFully
    @GetoFully 5 днів тому

    Nzuri❤❤

  • @ndimimaskati3641
    @ndimimaskati3641 6 днів тому

    Wafanyabiashara wanalipa KODI wakitoa mzigo bandarini wakiuza wanalipa VAT, sasa hawa wafanyakazi wa serikali wakomeshwe kunyanyasa wafanyabiashara. Kenya watu wamegoma TAX za serikali, wananchi ni masikini. Wakubwa wa serikali wanaishi na familia zao maisha mazuri ya Ufahari kwa kodi za wananchi.

  • @user-bq4tk6yq2q
    @user-bq4tk6yq2q 6 днів тому

    Wanao dharau maagizo ya rais wawekwe pembeni na kuwaweka wanokwenda naye

  • @user-bq4tk6yq2q
    @user-bq4tk6yq2q 6 днів тому

    Ubavu hakuna nani atasimama kama Jpm awatoe wasio kendal na mama

  • @RabihuHussein
    @RabihuHussein 6 днів тому

    Mmeona hapo ndo goli la mkono eh🤣🤣🤣

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko5803 6 днів тому

    WE'LL SAID ACT

  • @devangandhl2255
    @devangandhl2255 7 днів тому

    Act mmeongea vizuri.to the point.viongozi wetu tunamategemeo nanyi

  • @mchungajimpigauzitv5703
    @mchungajimpigauzitv5703 7 днів тому

    Mungu

  • @user-ob4ez4ku6z
    @user-ob4ez4ku6z 7 днів тому

    Safi kabisa umeongea mzee na umesomeka big up

  • @user-gy5gu1mn4x
    @user-gy5gu1mn4x 7 днів тому

    Kweli babisa ✌️❤️

  • @edmondraymond52
    @edmondraymond52 7 днів тому

    WA

  • @stewartdyamvunye-wz6rn
    @stewartdyamvunye-wz6rn 7 днів тому

    My friend serikali inapokuwa haina fedha, ni mtumwa wa waarabu, wazungu, wachina nk. kama matokeo ya sera "asante bwana wangu kwa kunipa mikopo" usitegemee intervation ya raisi! Nyie ACT Wazalendo ndo inatakiwa mfanye intervation kwa kuja na sera mpya, bunifu na endelevu kama nilivokusikia baadhi ya mapendekezo yako. Huku unaishutumu serikali imefeli hapohapo unaishauri ifanye intervation! Kikwetu "u are talking hypocracy." Nimekushangaa sana bwana mhe. wa ACT Wazalemdo!

  • @BGmElectronics
    @BGmElectronics 7 днів тому

    100% umetisha kama cyo siasa pia

  • @tanzanite9944
    @tanzanite9944 7 днів тому

    Jawa Wanasiasa ndio wana ole ya Chockochoko kwenye Biashara za Watu. Hawafai kuingilia mambo ya Watu yasiyowahusu.

  • @ngusawales2039
    @ngusawales2039 7 днів тому

    Hawa jamaa sjawahi kuwaamin hata kidogo

  • @dulasele-ud8cw
    @dulasele-ud8cw 7 днів тому

    Aibu kubwa nchi

  • @dulasele-ud8cw
    @dulasele-ud8cw 7 днів тому

    Umeongea vitu vitamu nusu niliee

  • @user-rs4vz2vt9z
    @user-rs4vz2vt9z 7 днів тому

    Hii nchi Mara soko liungue Mara makodi yasioisha,bungeni mkiambiwa ukweli mnafukuza wasema kweli,asilimia tisini na tisa chama moja mnafukuzana wenyewe, wangekua wapimzani ingekuaje?,Nani kama Mpina?.

  • @salyali7807
    @salyali7807 7 днів тому

    Mchinjita you are the best 1🔥🔥🔥

  • @fredrickipembe8188
    @fredrickipembe8188 7 днів тому

    Mwigulu ndio tatizo anatamaa sana hapendi watu wengine wishing vizuri mama mtoe huyo waziri wa fedha huyo ndio shida

  • @user-il6rm7cj1g
    @user-il6rm7cj1g 8 днів тому

    ❤❤❤❤❤

  • @bakaryngoneke5606
    @bakaryngoneke5606 8 днів тому

    Zitto luhusu mikutano uliyoifanya ukiwa chadema yote iludi mtandaoni

  • @KisimaTv99
    @KisimaTv99 9 днів тому

    naam Katiba ifuatwe tu.

  • @salyali7807
    @salyali7807 10 днів тому

    Very nice 🔥🔥🔥

  • @antonyelias866
    @antonyelias866 10 днів тому

    Wwe labda rais wa jamuhuri ya KG

  • @user-il6rm7cj1g
    @user-il6rm7cj1g 10 днів тому

    ❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉

  • @NashonJunior-or5eh
    @NashonJunior-or5eh 10 днів тому

    Bora ugombee ubunge ,, tukuone bungeni, uraisi CCM Hata kwa goli la mkono wanabaki

  • @KaremeraManasse
    @KaremeraManasse 11 днів тому

    Here in 2024 and I will back in 2050 . I love the song badly. From Rwanda 🇷🇼 and Brussels

  • @shadrack6530
    @shadrack6530 11 днів тому

    Kumbe baba levo alikuwaga mzee na hamsemi😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @robertnjoroge7824
    @robertnjoroge7824 12 днів тому

    One of the greatest collabo

  • @AbdulKarim-ou9vd
    @AbdulKarim-ou9vd 14 днів тому

    😂 Naipenda❤ sana hii ngo inanikumbusha home 😅

  • @KALUMWASHIDAHA
    @KALUMWASHIDAHA 15 днів тому

    Amani❤sana

  • @ramradj5191
    @ramradj5191 15 днів тому

    Mimi hapa congo

  • @TalbuJuma
    @TalbuJuma 15 днів тому

    Big up❤

  • @rdatrendingnewstv7797
    @rdatrendingnewstv7797 16 днів тому

    Who is still here in 2024 ???

  • @NiyonkuruSimon-pf1ie
    @NiyonkuruSimon-pf1ie 17 днів тому

    Ewan gahunda nugutigita kabisa

  • @peterlujuo1640
    @peterlujuo1640 18 днів тому

    Kama umerudia verse ya diamond hit 👍

  • @user-kw6dr4jg3d
    @user-kw6dr4jg3d 18 днів тому

    Anyone 2024 ❤❤??

  • @hannahkilango1446
    @hannahkilango1446 18 днів тому

    Napenda sana

  • @bashimandejazzman3749
    @bashimandejazzman3749 18 днів тому

    Ndiyo

  • @catekariuki1731
    @catekariuki1731 18 днів тому

    Watching from Kenya...I don't get enough of diamonds verse❤

  • @HazimanaDaniel
    @HazimanaDaniel 19 днів тому

    Nice 👍👍🇷🇼