![ACT MEDIA](/img/default-banner.jpg)
- 194
- 19 710 623
ACT MEDIA
Tanzania
Приєднався 3 бер 2010
Official media Channel For Alliance for Change and Transparency Tanzania (ACT Wazalendo)
ACT Wazalendo Yaanika Madudu ya Serikali Hadharani, Wizi Umekithiri
Akizungumza na Wananchi wa Kondoa Waziri Mkuu Kivuli Ndugu Isihaka Mchinjita ameeleza namna serikali ya CCM inavyoibia wananchi pamoja na kutumia rasilimali vibaya.
#taifalawote #maslahiyawote
#taifalawote #maslahiyawote
Переглядів: 191
Відео
ACT Wazalendo Yaieleza Serikali Hatua za Kufuata Kukuza Matumizi ya Gesi Nchini
Переглядів 1029 годин тому
Naibu Waziri Kivuli wa Fedha ambaye pia ni Naibu Mwenezi wa ACT Wazalendo, Ndugu Shangwe Ayo ametoa msimamo wa ACT katika kuhakikisha sekta ya gesi inakuwa nchini. #taifalawote #taifalawote
ACT Wazalendo Yatuma Salamu Kwa Waziri Mkuu Kassim Majaliwa
Переглядів 16714 годин тому
Waziri Mkuu Kivuli Ndugu Isihaka Mchinjita akiwa katika ziara Dodoma amepata malalamiko ya Chama Cha Mapinduzi Kuzuia ACT Wazalendo kufanya shughuli zake za siasa. Aidha Naibu Waziri Kivuli wa Fedha Ndugu Shangwe Ayo amemtaka Mwenyekiti wa CCM Dodoma Kuhakikisha hili haliendelei tena #taifalawote #maslahiyawote
Isihaka Mchinjita: ACT Wazalendo Tunataka Tume Huru, Jambazi Habadilishwi Nguo Kuwa Malaika
Переглядів 7114 годин тому
Waziri Mkuu kivuli ameyasema haya akiwa ziarani Morogoro. Hata hivyo Mchinjita ameeleza kuwa TAMISEMI kusimamia uchaguzi wa serikali za mitaa ni uhuni na haikubaliki. Aidha ziara yake ni mahususi kwa mikoa mitatu Morogoro, Dodoma na Manyara. #taifalawote #maslahiyawote
Isihaka Mchinjita: Samia Tulimuamini, Sasa Anawahadaa Wananchi
Переглядів 26514 годин тому
ACT Wazalendo yaendeleza msimamo wake wa kusimamia uwajibikaji kwa serikali kuhusu Tume Huru ya Uchaguzi. Waziri Mkuu Kivuli Ndugu Isihaka Mchinjita amewataka wananchi kuungana pamoja kudai Tume Huru. #taifalawote #maslahiyawote
ACT Wazalendo: Kariakoo ni Kitovu cha Biashara, Serikali Iache Mara Moja Kodi za Dhulma
Переглядів 8 тис.19 годин тому
Waziri Mkuu Kivuli, Ndugu Isihaka Mchinjita Amefanya Ziara ya Kuwatembelea Wafanyabiashara Karikaoo Kusikiliza Kero Zao Pamoja na Kuwaunga Mkono Katika Kupigania Haki Zao. Ziara Hiyo imefanyika Juni 24 2024 Kufuatia Mgomo wa Wafanyabiashara Hao. #taifalawote #maslahiyawote
ACT Wazalendo Yaitaka Serikali Kuipatia Zanzibar Stahiki Zake Kwa Mujibu Wa Katiba
Переглядів 11421 годину тому
Hayo Yamebainishwa Na Naibu Waziri Wa Fedha, Ndugu Shangwe Ayo Katika Zoezi La Uchambuzi Wa Bajeti Kuu Ya Serikali 2024-2025, Uliofanyika Makao Makuu Ya Chama Magomeni #taifalawote #maslahiyawote
Isihaka Mchinjita: Serikali Inakopa Mikopo Ya Kausha Damu, Mikopo Ya Kibiashara
Переглядів 83День тому
Katika Uchambuzi Wa Bajeti Kuu Ya Serikali 2024-2025 Uliofanyika Makao Makuu Ya ACT Wazalendo Juni 22, Waziri Mkuu Kivuli Isihaka Mchinjita Amebainisha Namna Serikali Inakwenda Kukopa Mikopo Yenye Riba Kubwa Ambayo Inapelekea Kuumiza Watanzania Ambao Ndio Walipaji Wa Mikopo Hiyo. #taifalawote #maslahiyawote
Zitto Kabwe: Nimejiandaa Kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Переглядів 492День тому
Kiongozi Mstaafu wa Chama ACT Wazalendo Ndugu Zitto Zuberi Kabwe Ametangaza Nia ya Kuwania Urais, Ameyasema Hayo Akiwa Kigoma Katika Maadhimisho ya Miaka 10 ya ACT Wazalendo. #taifalawote #maslahiyawote
Salamu Tatu Za Moto Kutoka Kwa Ismail Jussa
Переглядів 131День тому
Akiwa Mjini Kigoma Kwenye Maadhimisho ya Miaka 10 Ya ACT Wazalendo, Makamu Mwenyekiti Zanzibar Ndugu Ismail Jussa Ametema Cheche na Kutoa Salamu za Moto Zilizoleta Shangwe Katika Viwanja vya Gungu Uliopofanyikia Mkutano. #taifalawote #maslahiyawote
Ado Shaibu: Hawa Ndiyo Walioshiriki Uchafuzi wa 2020, Tume ijiuzulu
Переглядів 117День тому
Katibu Mkuu wa ACT Wazalendo Ndugu Ado Shaibu Ameitaka Tume ya Uchaguzi Kujiuzulu. Ameyasema Haya Akiwa Katika Ziara yake ya Majimbo ya Chalinze na Kibaha Vijijini #TaifaLaWote #MaslahiYaWote
ACT Wazalendo Yajipanga Uchambuzi Bajeti Kuu ya Serikali 2024-2025, Wananchi Watoa Maoni Yao
Переглядів 60День тому
Kesho Juni 22 ACT Wazalendo Itafanya Uchambuzi Yakinifu wa Bajeti Kuu ya Serikali, Utakaofanyika Makao Makuu Ya Chama Magomeni Usalama. #TaifaLaWote #MaslahiYaWote
ACT Wazalendo Imesikitishwa na Mauaji ya Mtoto Asimwe, Yatoa Tamko Waziri wa Mambo ya Ndani ajiuzulu
Переглядів 50День тому
Mtoto Mwenye Ualbino Asimwe Novath Mwenye Umri Wa Miaka Miwili Akutwa Amefariki na Kunyofolewa Baadhi ya Viuongo Siku kadhaa Baada ya Kunyakuliwa Mikononi Mwa Mama yake Mkoani Kagera. ACT Wazalendo Imetoa Tamko, Waziri wa Mambo ya Ndani Ajiuzulu
Mchakamchaka Wananchi Wameichoka CCM, Wakimbilia ACT Wazalendo
Переглядів 346День тому
Mchakamchaka Wananchi Wameichoka CCM, Wakimbilia ACT Wazalendo
My Interview with SABC of South Africa
Переглядів 7804 роки тому
My Interview with SABC of South Africa
Bunge LISITISHE VIKAO VYAKE 29/03/2020
Переглядів 1,1 тис.4 роки тому
Bunge LISITISHE VIKAO VYAKE 29/03/2020
#ACTDhidiYaCorona kunawa Mikono Zitto 3
Переглядів 9404 роки тому
#ACTDhidiYaCorona kunawa Mikono Zitto 3
Serikali ya Magufuli imeshindwa vibaya kima Pato
Переглядів 4154 роки тому
Serikali ya Magufuli imeshindwa vibaya kima Pato
#ACTDhidiYaCorona Maalim Seif ANATUASA #COVID19TZ
Переглядів 3484 роки тому
#ACTDhidiYaCorona Maalim Seif ANATUASA #COVID19TZ
Maendeleo ya Kigoma Ujiji ni matokeo ya kazi za ACT Wazalendo
Переглядів 5 тис.4 роки тому
Maendeleo ya Kigoma Ujiji ni matokeo ya kazi za ACT Wazalendo
Nimejiandikisha Kitongoji cha Kibingo, Mamlaka ya Mji Mdogo wa Mwandiga
Переглядів 1,3 тис.4 роки тому
Nimejiandikisha Kitongoji cha Kibingo, Mamlaka ya Mji Mdogo wa Mwandiga
Katibu Mkuu Dorothy Semu anakusihi ukajiandikishe Uchaguzi wa SM 2019
Переглядів 2804 роки тому
Katibu Mkuu Dorothy Semu anakusihi ukajiandikishe Uchaguzi wa SM 2019
ACT Zanzibar yaendelea na Uchaguzi wa ndani ya Chama
Переглядів 1,3 тис.4 роки тому
ACT Zanzibar yaendelea na Uchaguzi wa ndani ya Chama
ACT Wazalendo inakuhamasisha kujiandikisha Uchaguzi wa SM 2019
Переглядів 3664 роки тому
ACT Wazalendo inakuhamasisha kujiandikisha Uchaguzi wa SM 2019
Kama we niwagigoma kma mm gonga leke❤❤
Kwa anayejua mziki pekee ndio atakubaliana na mimi kwmb Queen Darleen kaua zaidi🔥🔥
2024
I'm here for 2024❤
Anaetazama mwez uu wa Saba like tafadhar❤
Mchinjita you are the best
Tatizo mama anajifanya chura ila atambue kirusi chote ni mwiguru na mkumbo huyu bibi Amtimue mwiguru hana ubunifu
Kali
Nzuri❤❤
Wafanyabiashara wanalipa KODI wakitoa mzigo bandarini wakiuza wanalipa VAT, sasa hawa wafanyakazi wa serikali wakomeshwe kunyanyasa wafanyabiashara. Kenya watu wamegoma TAX za serikali, wananchi ni masikini. Wakubwa wa serikali wanaishi na familia zao maisha mazuri ya Ufahari kwa kodi za wananchi.
Wanao dharau maagizo ya rais wawekwe pembeni na kuwaweka wanokwenda naye
Ubavu hakuna nani atasimama kama Jpm awatoe wasio kendal na mama
Mmeona hapo ndo goli la mkono eh🤣🤣🤣
WE'LL SAID ACT
Act mmeongea vizuri.to the point.viongozi wetu tunamategemeo nanyi
Mungu
Safi kabisa umeongea mzee na umesomeka big up
Kweli babisa ✌️❤️
WA
My friend serikali inapokuwa haina fedha, ni mtumwa wa waarabu, wazungu, wachina nk. kama matokeo ya sera "asante bwana wangu kwa kunipa mikopo" usitegemee intervation ya raisi! Nyie ACT Wazalendo ndo inatakiwa mfanye intervation kwa kuja na sera mpya, bunifu na endelevu kama nilivokusikia baadhi ya mapendekezo yako. Huku unaishutumu serikali imefeli hapohapo unaishauri ifanye intervation! Kikwetu "u are talking hypocracy." Nimekushangaa sana bwana mhe. wa ACT Wazalemdo!
100% umetisha kama cyo siasa pia
Jawa Wanasiasa ndio wana ole ya Chockochoko kwenye Biashara za Watu. Hawafai kuingilia mambo ya Watu yasiyowahusu.
Huna jipya uchawa unakusumbua
Hawa jamaa sjawahi kuwaamin hata kidogo
Aibu kubwa nchi
Umeongea vitu vitamu nusu niliee
Hii nchi Mara soko liungue Mara makodi yasioisha,bungeni mkiambiwa ukweli mnafukuza wasema kweli,asilimia tisini na tisa chama moja mnafukuzana wenyewe, wangekua wapimzani ingekuaje?,Nani kama Mpina?.
Mchinjita you are the best 1🔥🔥🔥
Mwigulu ndio tatizo anatamaa sana hapendi watu wengine wishing vizuri mama mtoe huyo waziri wa fedha huyo ndio shida
Tuwe makini, kwani kinacho endelea
❤❤❤❤❤
Zitto luhusu mikutano uliyoifanya ukiwa chadema yote iludi mtandaoni
naam Katiba ifuatwe tu.
Very nice 🔥🔥🔥
Wwe labda rais wa jamuhuri ya KG
❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Bora ugombee ubunge ,, tukuone bungeni, uraisi CCM Hata kwa goli la mkono wanabaki
Here in 2024 and I will back in 2050 . I love the song badly. From Rwanda 🇷🇼 and Brussels
Kumbe baba levo alikuwaga mzee na hamsemi😂😂😂😂😂😂😂😂😂
One of the greatest collabo
😂 Naipenda❤ sana hii ngo inanikumbusha home 😅
Amani❤sana
❤❤
Mimi hapa congo
Big up❤
Who is still here in 2024 ???
Ewan gahunda nugutigita kabisa
Kama umerudia verse ya diamond hit 👍
Anyone 2024 ❤❤??
Napenda sana
Ndiyo
Watching from Kenya...I don't get enough of diamonds verse❤
Nice 👍👍🇷🇼